Tuesday 19 April 2016

PICHA:MUONEKANO WA DARAJA LA KIGAMBONI LINALOUNGANISHA KIGAMBONI NA UPANDE WA KURASINI


Daraja la kisasa la Kigamboni linalounganisha eneo la Kigamboni na upande wa Kurasini likikatisha bahari ya Hindi. 

Lina barabara sita za magari na moja kwa watembea kwa miguu na pia lina urefu wa mita 680 huku likiwa limegharimu jumla ya shilingi bilion 214.6.

No comments:

Post a Comment