Tuesday 29 March 2016

PICHA:USIKU WA SNURA NA MSAMBWANDA DADAZ NDANI YA DESIRE PARK.


Dj Hk the Monster pamoja na Kg thedeejay wakifanya yao.

 Mwanakwetu Idrissa Salum akitahamaki mambo ya chura.

 Team ya kijiweni haikuwa mbali kuchukua matukio yaliyokuwa yakiendelea.


                               Mambo ya msambwanda dadaz yakihusika kwa stage.

 Washehereshaji wakifanya yo, huku Orest Ngowi hapa Mwanakwetu Idrissa Salum.

 Mofedha akikonga nyayo za mashabiki kwa stage.

 Baadhi ya mashabiki waliofika viwanja vya Desire park.

 Baadhi ya mashabiki waliofika Desire Park.

 Alianza chura mdogo kuruka stejini akafata chura mkubwa.

                                   Mashabiki wakionyesha support kwa snu sexy.


 Baadhi ya mashabiki waliojitokeza viwanja vya Desire Park.









No comments:

Post a Comment