Tuesday 28 February 2017

Monday 27 February 2017

WAKAZI WA KATA YA BUSERESERE MKOANI GEITA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU



Wakazi katika Kata ya Buseresere wilayani Chato  mkoani Geita wameiomba Serikali kuwaboreshea miundombinu ikiwa ni pamoja na mitalo ya kusafirisha maji taka ili kuepuka kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na mvua za masika kuanza kunyesha.

PICHA: MKUU WA JESHI LA ULINZI TANZANIA ALA KIAPO CHA UADILIFU KWA VIONGOZI WA UMMA



Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela akimpokea Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania(CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo alipowasili katika Ofis za Sekretari hiyo kwa ajili ya kula kiapo cha Uadilifu leo Jijini Dar es Salaam



Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela(wapili kushoto) akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo alipowasili katika Ofis za Sekretari hiyo kwa ajili ya kula Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam.



Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akitia saini katika Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akipokea Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma kutoka kwa Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania, Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania, Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akitia saini katika Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania, Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akipokea Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma kutoka kwa Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.



Mnadhimu MKuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania, Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akielezea jambo nje ya Ofisi za Sekretairieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, mara baada ya kula Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam.



SPIKA AWAAHIDI CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA USHIRIKIANO



Spika  wa Bunge  Mhe Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Kamati Tendaji ya Skauti waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam mapema leo. Wa pili  kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tenkonolojia Mhe Eng. Stella Manyanya (Mb) na anayefutia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Skauti Tanzania Balozi Nicholas Kuhanga.



Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tenkonolojia Mhe Eng. Stella Manyanya (Mb) aliyeambatana na Viongozi wa Kamati Tendaji ya Skauti Tanzania akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati walipotembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.



Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Skauti Tanzania Balozi Nicholas Kuhanga akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati walipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.




Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (aliyekaa kulia) na  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tenkonolojia Mhe Eng. Stella Manyanya (Mb) katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kamati Tendaji ya Skauti Tanzania mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.

Friday 24 February 2017

RAIS MSTAAFU ALLY MWINYI KATIKA SHEREHE YA UHURU WA KUWAIT JIJINI DAR ES SALAAM




 Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akipokea zawadi ya mchoro toka kwa Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu. Kushoto ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga


Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akikata keki na  Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu. Kushoto ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga


Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akikata keki na  Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu. Kushoto ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga



Keki ya hafla hiyo  ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu. 


Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akiwa katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya mapambano ya ukombozi katika ubalozi wa nchi hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam usiku huu. Kulia kwake  ni waziri wa mambo ya nchi za nje Dkt. Andrew Mahiga.

UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA UKIMWI KUFANYIKA MKOANI GEITA



Afisa mawasiliano na umasishaji wa jamii la haika,Mihayo Bupamba akitoa maelekezo kwa wajumbe wakati wa Mkutano huo.


Afisa mawasiliano na umasishaji wa jamii la haika,Mihayo Bupamba,akitoa elimu kwa wajumbe juu ya zoezi la utafiti.


Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akitoa takwimu za Ukimwi zilivyo katika hapa nchini.


Wajumbe wakifatilia Mkutano.


Mkuu wa Mkoa wa Geita akiendelea kutoa maelezo.

Wednesday 22 February 2017

PICHA: MAMA SAMIA SULUHU ANEEMISHA SHEREHE ZA SIKU YA MTO NILE, JIJINI DSM



Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Tanzania Mhandisi Gerson Lwenge akizungumza wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 1o zinazozunguka mto Nile zikiwa na kauli mbiu “Mto wetu wa pamoja Nile – Chanzo cha Nishati, Chakula na Maji kwa Wote”



Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Nne Profesa Mark Mwandosya akielezea umuhimu wa Mto Nile wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 1o zinazozunguka mto Nile zikiwa na kauli mbiu “Mto wetu wa pamoja Nile – Chanzo cha Nishati, Chakula na Maji kwa Wote”



Mkurugenzi Mtendaji wa Nile Basin Initiative Mhandisi Innocent Ntabana  akizungumza wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile zikiwa na kauli mbiu “Mto wetu wa pamoja Nile – Chanzo cha Nishati, Chakula na Maji kwa Wote” Kutoka Kulia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwele na Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Nne Profesa Mark Mwandosya



Balozi Maalum wa Masuala ya Mto Bonde la Mto Nile kutoka Ofisi ya Mambo ya Nje ya Ujerumani Rolf Welberts akizungumza wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 1o zinazozunguka mto Nile zikiwa na kauli mbiu “Mto wetu wa pamoja Nile – Chanzo cha Nishati, Chakula na Maji kwa Wote”



Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Tanzania Mhandisi Gerson Lwenge akizungumza kabla ya kuanza maandamano ya amani wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalianzia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja na kuelekea hadi katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere.


Waziri wa Maji wa Uganda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya nchi zinzaozunguka Bonde la Mto Nile Bw. Sam Cheptoris akiwatambulisha Mawaziri wa Maji kutoka nchi wanachama wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 1o zinazozunguka mto Nile zikiwa na kauli mbiu “Mto wetu wa pamoja Nile – Chanzo cha Nishati, Chakula na Maji kwa Wote”





Maandamano yakiendelea wakati wa sherehe ya Siku ya Mto Nile ambayo imejumuisha nchi takrinibani 10 zinazozunguka Bonde la Mto Nile, nchi hizo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akipokea maandamano mara baada ya kuwasili katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula.


Waandamanaji wakipita mbele ya Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu(hayupo pichani) huku wakipunga mkono walipokuwa wakiwasili katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere leo Jijini Dar es Salaam.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akipeana mkono na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge mara baada ya kupokea maandamano baada ya kuwasili katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akimwagilia maji mti alioupanda ikiwa ni kumbukumbu ya sherehe za Siku ya Nile mara baada ya kupokea maandamano ya amani katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam.

 

Waziri wa Maji wa Burundi akipanda mti kama kumbukumbu ya ya sherehe za Siku ya Nile iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akisoma ujumbe kutoka katika mabongo yaliyobebwa na wanafunzi wa Shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko ya Jijini Dar es Salaam mara baada ya kupokea maandamano ya amani katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akipata maelezo kuhusu Miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia Program ya Nile Basin Initiative alipotembelea mabanda ya taasisi mbalimbali wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya Mawaziri wa Maji kutoka nchi washirika wa Bonde la Mto Nile, pamoja na baadhi ya Viongozi kutoka Tanzania wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa sherehe za Siku ya Nile zilizofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania.


Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mlimani ya Jijini Dar es Salaam wakiimba ngojera mbele ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu wakati wa sherehe za Siku ya Nile zilizofanyika leo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akionyesha tuzo aliyokabidhiwa wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania.

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akimkabidhi tuzo Waziri wa zamani wa Serikali ya Awamu ya Nne Profesa Mark Mwandosya  wakati wa sherehe za Siku ya Mto Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania. Kushoto ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Hassan Suluhu akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri kutoka nchi Washirika wa Jumuiya ya Watumia Maji ya  Mto Nile, wakati wa sherehe za Siku ya Nile leo Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zimeshirikisha takribani nchi 10 zinazozunguka mto Nile ambazo ni pamoja na Kenya, Uganda, Burundi, Sudan, South Sudan, DR-Congo,Ethiopia, Rwanda,Somalia na mwenyeji Tanzania. 



ASKOFU GADI AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUMTEUA KAMISHNA WA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA



Askofu wa Good News for All Ministry  Dkt. Charles Gadi  kwa niaba ya dini na madhehebu mbalimbali hapa nchini wamempongeza  Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kumteua Kamishna wa Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya.

NHIF YAKUTANA NA WADAU NA KUHAIDI KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA



Mwenyekiti wa Bodi NHIF  na Spika mstaafu wa Bunge mama Anna Makinda akisisitiza juu ya huduma kuboreshwa katika mfuko wa Bima ya afya wa Taifa


Mkuu wa Mkoa wa Geita,Meja jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa na mwenyekiti wa Bodi ya NIHF wakisikiliza kwa makini taarifa ya Mkoa wa Geita juu ya mfuko wa bima ya afya


Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja jenerali Mstaafu  Ezekiel Kyunga akifungua mkutano wa wadau wa Mfuko wa Bima wa Taifa Mkoani Humo