88.9 STORM FM - GEITA

KUHABARISHA NA KUFAHAMISHA KUHUSU HABARI NA MAMBO YANAYOENDELEA KATIKA JAMII YA GEITA, KANDA YA ZIWA, TAIFA NA DUNIANI. TUTUMIE HABARI AU WASILIANA NASI KUPITIA info@stormfm.co.tz au +255 685 883 870

Pages

  • Home
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • BIASHARA NA UCHUMI
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • AFYA
  • ELIMU

Saturday, 22 October 2016

MJADALA WA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WAENDELEO MJINI DODOMA CHINI YA KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII.


 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ikiendelea na majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.




 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba (kulia) akielezea  jambo kwa wajumbe wa Kamati yake na viongozi na watendaji wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma kushoto ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye



Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye kushoto) akijibu hoja mbalimbali za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba



 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (katikati) akisisitiza jambo kwa  Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.





 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson (kushoto) akifafanua jambo wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.



 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel  akijibu hoja zilizotolewa na baadhi ya wajumbe ambao wanashiriki kuuchambua Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari  leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.



 Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia majadiliano na hoja mbalimbali katika kikao cha kuujadili  Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari kinachoendelea Mjini Dodoma leo Oktoba 21,2016.

Posted by Unknown at 05:41
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • WATU WATANO WAFARIKI DUNIA JIJINI DAR KWA KUANGUKIWA NA KIFUSI.
    Watu watano wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa, baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kuangukiwa na kifusi na mti wakiw...
  • SERIKALI KUWEZESHA UMEME VIJIJINI IFIKAPO 2025.
    Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dr.John Pombe Magufuli imedhamilia ifikapo mwaka 2025 vijiji vyote nchini vinafikiwa n...
  • WATAALAM WA MADINI YA DHAHABU NCHI ZA UKANDA WA MAZIWA MAKUU (ICGLR) WAKUTANA ARUSHA
    Baadhi ya Waratibu wa Mkutano wa Wataalam wa Madini ya Dhahabu kutoka Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu ICGLR wakifuatilia majadiliano kwenye...
  • MKAZI MMOJA MKOANI GEITA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASWA NA UMEME
            Bw.Daudi Boniventure mkazi wa kata ya Nyankumbu mkoani hapa amefariki dunia baada ya kunaswa na umeme alipokuwa akisambaza umeme ...
  • WAFANYAKAZI WA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KUANZA KUJISAFISHA.
                       Waziri wa nchi, ofisi ya rais, utumishi na utawala bora, Mh    Angela Kairuki. Wafanyakazi wa Taasisi ya kuzuia na k...
  • PICHA:MAMA JANET MAGUFULI AKITOA MSAADA MKOANI LINDI KWA WATU WASIOJIWEZA
    Wananchi wa Kijiji cha Nandagwa Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi w...
  • MFANYAKAZI WA KIHINDI AACHISHWA KAZI KWA KUWADHALILISHA WATANZANIA.
                                   Hoteli ya ramada resort iliyopo jijini Dar es salaam. Raia wa India, Dennis Smith ameachishwa kazi katik...
  • KAMPUNI YA HALOTEL YATAKIWA KUZINGATIA MKATABA WAKE.
    Wzairi wa ujenzi,Uchukuzi na mawasiliano Prof.Makame Mbalawa(Mwenye koti la bluu)             akisikiliza maelezo ya wakandarasi.   Seri...
  • MATUKIO MBALIMBALI KATIKA TAMASHA LA MTANZANIA LILILOANDALIWA NA MGODI WA GGM
    Baadhi ya viongozi wa mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) Wakiwa na nyuso za furahaa wakati wa sherehe za usiku wa Mtanzania. Mkurugenzi...
  • HII NDIO REKODI YA YANGA NA AZAM KUANZIA 2008-2016

Popular Posts

  • HOFU, KUTOJIAMINI ZAPELEKEA UPOTEVU WA HAKI KWA WANAWAKE GEITA
    Baadhi ya wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia kwa mwanamke wakiwa kwenye kikao cha pamoja kilichokuwa kimelenga kujadili sera na sheria y...
  • VYUO 20 VYAFUTIWA USAJILI NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
    Leo June 8, 2018  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili wa vyuo 20 kwa kushindwa kufuata utaratibu wa usaji...
  • SHULE ZA SEKONDARI KIBONDO ZAONGOZA KWA UFAULU KITAIFA
    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye (Mb) akipokea Mwenge wa Uhuru baada ya kuwasili kwenye jimbo lake l...
  • PM MAJALIWA - TUNA KAZI KUBWA YA KUELIMISHA JAMII KUHUSU FISTULA
    Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema bado kuna kazi kubwa kuhakikisha jamii inafikishiwa ujumbe kuhusu tatizo la fistula na at...
  • WANANCHI WA NYAKAGWE WAIOMBA SERIKALI KUWATENGENEZEA DARAJA
    Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Nyakagwe wakivuka Mto kwa kuvua viatu kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye eneo hilo. Mwan...
  • WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AZINDUA WIKI YA MAZIWA NCHINI,AAHIDI KUINUA SEKTA HIYO
    Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Luhaga Mpina(wa pili kulia) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maziwa kitaifa kwenye uwanja maonesho ya Kilimo na...
  • KINARA WA UTEKAJI AUWAWA MKOANI GEITA
    Mtu mmoja anayejulikana kwa majina ya Panda Kinasa mwenye miaka 36 anayetuhumiwa kuwa kinara wa utekaji  watu ameuwawa kwa kupigwa na risa...
  • MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA TOKA 3.8% HADI 3.6%
     Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigabo akifafanua jambo alipokuwa...
  • RAISI WA SUDAN KUSINI SALVA KIIR AWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA SIKU MOJA
    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Bi Mindi Kasiga amesema Rais Kiir anafanya ziara ya kikazi ya siku moja ambapo anatarajiwa kuwa na...
  • WALIMU SHULE YA MSINGI ISABILO WAGOMA KUFANYA KAZI
    Walimu  wa shule ya msingi Isabilo wilaya na Mkoa wa Geita wamegoma kufanya kazi tangu Januari 25 mwaka huu  kutokana  na kile kinachodaiw...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ►  2018 (289)
    • ►  June (13)
    • ►  May (63)
    • ►  April (93)
    • ►  March (43)
    • ►  February (41)
    • ►  January (36)
  • ►  2017 (406)
    • ►  December (10)
    • ►  November (64)
    • ►  October (30)
    • ►  September (34)
    • ►  August (25)
    • ►  July (8)
    • ►  June (12)
    • ►  May (24)
    • ►  April (49)
    • ►  March (39)
    • ►  February (66)
    • ►  January (45)
  • ▼  2016 (711)
    • ►  December (19)
    • ►  November (26)
    • ▼  October (46)
      • TAARIFA KUTOKA IKULU KUHUSU SIKU YA KWANZA YA ZIAR...
      • TEMESA YAANZISHA PROGRAMU YA KUBAINI VIPURI BANDIA.
      • SHULE YA MSINGI BUTWA HAINA WALIMU WA KIKE
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWATAKA WAFANYAKAZI WA MV TAN...
      • MKUU WA WILAYA YA BUKOMBE JOSEPHAT MAGANGA ATOA SE...
      • MOROCCO KUJENGA UWANJA WA MPIRA MKOANI DODOMA.
      • UDSM WATAKIWA KUHAKIKISHA KINAENDELEA KUWA CHUO KI...
      • MKURUGENZI WA HABARI AWATAKA WADAU WA TASNIA YA HA...
      • MAKAMBA ASIKITISHWA NA UPUNGUFU WA MAJI ZIWA RUKWA...
      • MJADALA WA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI W...
      • KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YA...
      • MAGONJWA YASIOAMBUKIZWA TISHIO KWA VIFO VYA WATOTO...
      • MIKOA SABA NCHINI KUNUFAIKA NA MRADI WA MPANGO WA...
      • WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI GEITA BADO NI CHANGAM...
      • WAZIRI NAPE:MUSWADA WA HABARI KUIBADILI TAALUMA
      • WATU 10 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA AJALI YA BASI ...
      • WATU 13 WAFIKISHWA KIZIMBANI KWA MAUAJI YA WATAFIT...
      • JAMBAZI AWAJERUHI KWA BOMU ASKARI NA RAIA WANNE MK...
      • GGM YAFADHILI MILIONI 20 KWA AJILI YA MAKTABA KATI...
      • WAZIRI MWIJAGE AITAKA NBS KWA KUSHIRIKIANA NA WADA...
      • MHE. KAIRUKI AWAHIMIZA WATUMISHI WA UMMA MKOANI MW...
      • TEMESA SHINYANGA YAZIDAI MILLIONI 163 HALMASHAURI,...
      • WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUJIPATIA ELIMU NA T...
      • MHE ANASTAZIA WAMBURA ATEMBELEA JAKAYA MRISHO KIKW...
      • PICHA:GARI ILIYOMBEBA MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE...
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWAFUKUZA KAZI WAFANYAKAZI SI...
      • SERIKALI YABARIKI MBIO ZA KILI MARATHON
      • PICHA:WAZIRI NAPE NNAUYE ASHIRIKI SIKU YA KITAIFA ...
      • SERIKALI YAKIRI UHABA WA DAWA HOSPITALINI
      • RAIS MAGUFULI AFUTA SAFARI ZA VIONGOZI WA SERIKALI...
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWATAKA WATENDAJI WAKE KUJIT...
      • PICHA:DKT. NDUMBARO AWATAKA WATUMISHI WA UMMA NCHI...
      • PICHA:MAMA JANETH MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA SHEM...
      • RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KW...
      • SERIKALI KUHAKIKISHA IDADI KUBWA YA WANANCHI VIJIJ...
      • SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AFUMUA KAMATI YA BUNGE N...
      • PICHA:WAZIRI NAPE NNAUYE ASEMA NGOMA ZA ASILI NI C...
      • WALIOMPIGA MWANAFUNZI MBEYA DAY WAFUKUZWA CHUO
      • PICHA:WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO PR...
      • BEI ZA MAFUTA KWA MWEZI OKTOBA ZASHUKA
      • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALAANI MAUAJI YA WATAF...
      • PICHA:RAIS WA CONGO JOSEPH KABILA AHAIDI KUENDELE...
      • PICHA:MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AFUN...
      • PICHA:RAIS MAGUFULI ALIVYOMPOKEA RAIS WA CONGO JOS...
      • RIPOTI:BENKI YA DUNIA YATAJA IDADI YA WATU MASIKIN...
      • WAZIRI NAPE NNAUYE ATOA TAMKO DHIDI YA MECHI ILIYO...
    • ►  September (59)
    • ►  August (62)
    • ►  July (68)
    • ►  June (98)
    • ►  May (96)
    • ►  April (87)
    • ►  March (101)
    • ►  February (49)
Simple theme. Powered by Blogger.