Wednesday 22 June 2016

PICHA MBALIMBALI ZA UFUNGUZI WA UNUNUZI WA PAMBA MSIMU WA MWAKA 2016/17 MKOANI GEITA



Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga ukiwasili Wilayani nyangw'hwale tayari kwa mkutano wa ufunguzi wa ununuzi wa pamba msimu wa mwaka 2016/17









Wadau wakifatilia Mutano wa ufunguzi wa ununuzi wa Pamba msimu wa 2016/17



Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akiwa ameketi naMkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga



Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha (kushoto) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Nyangh'wale Hussein Kasu.


Baadhi wa wadau mbalimbali wakifatilia Mkutano



Brigedia  jenerali mstaafu Emmanuel Maganga ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma nae alikuwepo katika Mkutano alitoa neno juu ya hali ya kilimo cha Pamba.




Mkuu wa Wilaya ya Nyngh'wale Ibrahimu Marwa akimtambulisha Mbunge wa Jimbo hilo Hussein Kasu.


Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga akizungumza na Wananchi katika mkutano ya ufunguzi wa ununuzi wa pamba.



Mmoja wa Mkulima wa Pamba akipima pamba yake katika mzani ambao umehakikiwa kuwa na ubora.

No comments:

Post a Comment