Monday 27 June 2016

PICHA: BENKI YA CRDB YATOA MCHANGO WA MADAWATI WILAYANI SENGEREMA MKOANI MWANZA



Meneja wa CRDB Benki  Amin Mwakang'ata kushoto akiwa na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema.




Meneja wa CRDB Amin Mwakang'ata akizungmza kwa kina lengo la benki hiyo kutoa maadawati hayo ambapo wametoa madawati 81 yenye thamani ya shilingi milioni tano.



Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosha Crispin Luandaakizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano ya madawati ambapo ameshukuru kwa masaada huo ambao utasaidia kupunguza changamoto ya madawati.


Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema Chalya Julius amesema katika Halmashauri ya Sengerema ilikuwa na upungufu wa madawati 13499 lakini kwa kushirikiana na wadau hadi kufikia june 24 walikuwa na madawati waliotengeneza ni 5875 ambapo CRDB nao wameonyesha mchango wao.



Katibu Tawala Wilaya ya Sengerema Mariam Seleche akitoa neno la shukrani kwa msaada ambao wameonyesha Benk ya CRDB.

Baadhi ya Madawati yaliyokabidhiwa katika Wilaya ya Sengerema.

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Wilaya ya Sengerema.






No comments:

Post a Comment