Monday 30 April 2018

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGUA KIKAO CHA KAZI MKOANI DODOMA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifungua Kikao cha Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, kilichofanyika kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma Jana Aprili 29, 2018.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment