Monday 30 April 2018

MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP SIMON SIRRO AMEFANYA UKAGUZI WILAYANI MUFINDI


Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, mhe. Jamhuri William (kushoto) wakati alipofanya ziara ya kikazi na kuzungumza na maofisa na Askari wa Jeshi hilo mkoani Iringa leo

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akisalimiana na Maofisa wa Polisi wakati alipofanya Ziara ya ukaguzi na kuzungumza na Maofisa na askari wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa leo. 


Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akizungumza na Askari wa Vyeo mbalimbali Wilayani Mufindi mkoani Iringa leo, wakati akiwa kwenye Ziara ya ukaguzi pamoja na kuona changamoto walizonazo Askari wa Jeshi hilo na kuwataka kufanyakazi  kuzingatia Sheria na Taratibu.

No comments:

Post a Comment