88.9 STORM FM - GEITA

KUHABARISHA NA KUFAHAMISHA KUHUSU HABARI NA MAMBO YANAYOENDELEA KATIKA JAMII YA GEITA, KANDA YA ZIWA, TAIFA NA DUNIANI. TUTUMIE HABARI AU WASILIANA NASI KUPITIA info@stormfm.co.tz au +255 685 883 870

Pages

  • Home
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • BIASHARA NA UCHUMI
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • AFYA
  • ELIMU

Tuesday, 29 November 2016

RAIS DKT.MAGUFULI AMWANDALIA RAIS EDGAR LUNGU DHIFA YA KITAIFA IKULU JIJINI DSM


 Rais Mstaafu wa awamu ya Pili AlhajAli Hassan Mwinyi,Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume wakielekea kwenye dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa heshima ya Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Lungu katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam usiku huu.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakielekea kwenye dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa heshima ya Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Lungu katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es salaam usiku huu.
  Rais Dkt John Pombe Magufuli na  Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Lungu katika ukumbi wa Ikulu kwa dhifa hiyo ya kitaifa aliyomwandalia mgeni wake Ikulu jijini Dar es salaam usiku huu.
 Meza kuu ikiwa imesimama kwa Wimbo wa Taifa
 Rais Dkt Magufuli akimsindikiza mgeni wake Rais Edgar Lungu wa Zambia kusalimiana na viongozi mbalimbali
 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Kulia ni Naibu Spika Dkt Tulia Ackson
 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Naibu Spika Dkt Tulia Ackson
  
 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Spika Mstaafu Mhe. Pius Msekwa

 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman

 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt Amani Abeid Karume

 Rais Edgar Lungu wa Zambia akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bw. Gerson Msigwa akisherehesha hafla hiyo
 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
 Rais Edgar Lungu wa Zambia akigonganisha glasi na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan

 Wimbo wa Taifa 
 Viongozi wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Taifa wa Zambia ukipigwa

 
 Viongozi wa vikosi vya ulinzi na usalama pamoja na Mkuu wa Itifaki wa Zambia wakiwa wamesimama kwa wimbo wa Taifa 

 Sehemu ya Mawaziri waliohudhuria wakiwa wamesimama
 Viongozi wakiwa wamesimama
 Makatibu wakuu na sehemu ya ujumbe wa Zambia
 Wageni waalikwa na viongozi wa vyama vya siasa
 Baadhi ya mabalozi mbalimbali waliohudhuria
Wageni mbalimbali
 
 Mabalozi mbalimbali
 Mabalozi na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje 
Wafanyabiashara na viongozi wa taasisi mbalimbali
 
  Wafanyabiashara na viongozi wa taasisi mbalimbali na maafisa wa Wizara ya Mambo ya nje
 Viongozi wa taasisi mbalimbali
 Viongozi wa kidini na wageni mbalimbali

 Makatibu wakuu na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace Mujuma

Rais Dkt Magufuli akigonganisha glasi na mgeni wake Rais Edgar Lungu wa Zambia
  
 Mrisho Mpoto na Banana Zorro na Mjomba band akitumbuiza

 Mrisho Mpoto akighani wimbo maalumu
 Rais Edgar Lungu akiagana na viongozi 
Rais Edgar Lungu akiagana na viongozi 
 
 Rais Edgar Lungu akiagana na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein
Rais Edgar Lungu akiagana na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan
  
Rais Edgar Lungu akisindikizwa na mweyeji wake Rais Dkt Magufuli
 
Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume wakiondoka baada ya dhifa
  

Rais Dkt. Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Rais Mstaafu Dkt.  Jakaya Mrisho kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakifurahia jambo mara baada ya dhifa hiyo ya Kitaifa Ikulu jijini Dar es salaam.
Posted by Unknown at 00:36
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • HII NDIO REKODI YA YANGA NA AZAM KUANZIA 2008-2016
  • WANANCHI MKOANI GEITA WATAKIWA KUCHUKUA VIPIMO KABLA YA KUTUMIA DAWA PINDI WANAPOJIHISI KUUMWA
    Ikiwa leo ni kilele cha siku ya maadhimisho ya ugonjwa wa malaria duniani wananchi mkoani Geita wametakiwa  kuacha tabia ya kutumia dawa ...
  • RISASI ZALINDIMA MAHAKAMANI WAKATI WA KUHAKIKI NG'OMBE WILAYANI BUKOMBE MKOANI GEITA
    Milio ya risasi ilirindima juzi na kuzua tafrani wakati Mahakama ya Wilaya ya Bukombe ilipohamia mahabusu ya ngo’mbe kuhakiki idadi ya mf...
  • PICHA:WAZIRI WA HABARI,SANAA,UTAMADUNI NA MICHEZO NAPE NNAUYE ALIPOTEMBELEA MKOA WA GEITA
    Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na Michezo Nape Nnauye  akiwasili katika ofisi ya Mkoa wa Geita Kaimu Mkuu wa Mkoa Manzie Mangochie ...
  • BAADA YA KUMTENGUA ANNE KILANGO, RAISI MAGUFULI ASEMA AMETUMA WATU KUWAREKODI MAWAZIRI WANAOLALAMIKA ILI NAO AWATUMBUE MAJIPU
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe  Magufuli amesema amewatuma watu kuwarekodi mawaziri ambao wamesikika wakilala...
  • WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE WAWILI KUJERUHIWA BAADA YA KUANGUKIWA NA KIFUSI MKOANI GEITA.
    Watu wawili wafariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa huku mama mmoja ajulikanaye kwa jina la felista mganga mwenye umri wa miaka 65 ...
  • RAISI JOHN POMBE MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WILSON KABWE
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Wilson...
  • WAZIRI WA MICHEZO NAPE NNAUYE AMESEMA ATAHAKIKISHA TIMU ZA DODOMA ZINACHEZA LIGI KUU
    Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na vijana wa Jogging club Mjini Dodoma mara baada ya kufan...
  • PICHA:MATUKIO MBALIMBALI YALIYOENDELEA JANA WAKATI RAISI WA SUDAN KUSINI ALIPOWASILI TANZANIA.
     Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akipokea maua kutoka kwa mtoto Sharon Innocencia Shiyo mara baada ya kuwasili kwenye viwanj...
  • RAIS MAGUFULI ATOA SHILINGI MILIONI 10 NYUMBANI KWAO CHATO MKOANI GEITA KUCHANGIA UPANUZI WA KANISA.
    Rais Magufuli ametoa mchango wa shilingi milioni 10 kwa kanisa la bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita kwa ajili kuchagia upanuzi w...

Popular Posts

  • HOFU, KUTOJIAMINI ZAPELEKEA UPOTEVU WA HAKI KWA WANAWAKE GEITA
    Baadhi ya wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia kwa mwanamke wakiwa kwenye kikao cha pamoja kilichokuwa kimelenga kujadili sera na sheria y...
  • VYUO 20 VYAFUTIWA USAJILI NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
    Leo June 8, 2018  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili wa vyuo 20 kwa kushindwa kufuata utaratibu wa usaji...
  • SHULE ZA SEKONDARI KIBONDO ZAONGOZA KWA UFAULU KITAIFA
    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye (Mb) akipokea Mwenge wa Uhuru baada ya kuwasili kwenye jimbo lake l...
  • PM MAJALIWA - TUNA KAZI KUBWA YA KUELIMISHA JAMII KUHUSU FISTULA
    Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema bado kuna kazi kubwa kuhakikisha jamii inafikishiwa ujumbe kuhusu tatizo la fistula na at...
  • WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AZINDUA WIKI YA MAZIWA NCHINI,AAHIDI KUINUA SEKTA HIYO
    Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Luhaga Mpina(wa pili kulia) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maziwa kitaifa kwenye uwanja maonesho ya Kilimo na...
  • WANANCHI WA NYAKAGWE WAIOMBA SERIKALI KUWATENGENEZEA DARAJA
    Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Nyakagwe wakivuka Mto kwa kuvua viatu kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye eneo hilo. Mwan...
  • MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA TOKA 3.8% HADI 3.6%
     Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigabo akifafanua jambo alipokuwa...
  • KINARA WA UTEKAJI AUWAWA MKOANI GEITA
    Mtu mmoja anayejulikana kwa majina ya Panda Kinasa mwenye miaka 36 anayetuhumiwa kuwa kinara wa utekaji  watu ameuwawa kwa kupigwa na risa...
  • RAISI WA SUDAN KUSINI SALVA KIIR AWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA SIKU MOJA
    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Bi Mindi Kasiga amesema Rais Kiir anafanya ziara ya kikazi ya siku moja ambapo anatarajiwa kuwa na...
  • WALIMU SHULE YA MSINGI ISABILO WAGOMA KUFANYA KAZI
    Walimu  wa shule ya msingi Isabilo wilaya na Mkoa wa Geita wamegoma kufanya kazi tangu Januari 25 mwaka huu  kutokana  na kile kinachodaiw...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ►  2018 (289)
    • ►  June (13)
    • ►  May (63)
    • ►  April (93)
    • ►  March (43)
    • ►  February (41)
    • ►  January (36)
  • ►  2017 (406)
    • ►  December (10)
    • ►  November (64)
    • ►  October (30)
    • ►  September (34)
    • ►  August (25)
    • ►  July (8)
    • ►  June (12)
    • ►  May (24)
    • ►  April (49)
    • ►  March (39)
    • ►  February (66)
    • ►  January (45)
  • ▼  2016 (711)
    • ►  December (19)
    • ▼  November (26)
      • RWANDA YASHTUMIWA KUPANGA SHAMBULIZI LA KUTAKA KUM...
      • WIZARA YA ELIMU YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOSAMBAA KUW...
      • PICHA:WAZIRI NAPE KATIKA MAKABIDHIANO YA PICHA YA ...
      • RAIS DKT.MAGUFULI AMWANDALIA RAIS EDGAR LUNGU DHIF...
      • AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT MAGUFULI ATUNUKU KAMISHE...
      • WAZIRI WA MICHEZO NAPE NNAUYE AKATAA MAMLUKI SHIMMUTA
      • WAZIRI WA UJENZI PROF MAKAME MBARAWA ATEMBELEA TE...
      • TANESCO KIGOMA YADAIWA MILLIONI 49 NA TEMESA
      • TANZANIA KUENDELEA KUSIMAMIA HISTORIA YA UKOMBOZI ...
      • ASILIMIA 75 YA WATANZANIA KUNUFAIKA NA HUDUMA YA U...
      • WAZIRI NAPE :HATUJAMTELEKEZA MISS TANZANIA
      • WAZIRI NAPE AAHIDI MAGEUZI KATIKA MASHINDANO YA UR...
      • PICHA:SPIKA NDUGAI ALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA MAREHE...
      • MWILI WA WAZIRI WA ZAMANI WA ELIMU, JOSEPH MUNGAI ...
      • PAC YAISHAURI SERIKALI KUANZISHA MFUKO WA UWEKEZAJI
      • SERIKALI KUKIBORESHA CHUO CHA OLMOTONYI
      • SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZA HAKI ZA BINADAMU AFRI...
      • MATUMIZI YA TOVUTI YAZIDI KUPANUA WIGO WA UTOAJI W...
      • MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA YALIYOJIRI BUNGENI...
      • WANANCHI WILAYANI GEITA WAOMBWA KUENDELEA KUCHANGI...
      • BODI YA PAMBA KUHAMIA JIJINI MWANZA
      • ASKARI 152 WAFUKUZWA KAZI NCHINI
      • RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA SPIKA...
      • SAMWEL SITTA AFARIKI DUNIA
      • PICHA:YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO ASUBUHI
      • MATUKIO KATIKA PICHA YALIYOJIRI BUNGENI HII LEO MJ...
    • ►  October (46)
    • ►  September (59)
    • ►  August (62)
    • ►  July (68)
    • ►  June (98)
    • ►  May (96)
    • ►  April (87)
    • ►  March (101)
    • ►  February (49)
Simple theme. Powered by Blogger.