Wednesday 25 January 2017

PICHA:WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NORWAY LEO



Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akimsikiliza mmoja wa wataalam walioambatana na Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Hanne Marie Kaarstad (watatu kulia) walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar Es Salaam.



Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. sifuni Mchome (wapili kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao na Balozi wa Norway na ujumbe wake (hawapo pichani) walipotembelea Wizara hiyo leo ili kujadili namna wataalam hao wanavyoweza kusaidia kiteknolojia katika kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wananchi.



Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akiagana na  Balozi wa Norway nchini Tanzania Mhe. Hanne Marie Kaarstad na ujumbe wake baada ya kumaliza kikaol eo jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment