Wednesday 28 June 2017

JOKHA KASSIMU/DADAS NG’ARI NG’ARI WAITENDEA HAKI IDD MOSI GEITA


Wakina dada wakionesha shughuli Pevu stejini kwenye show kabambe iliyoandaliwa na 88.9 Storm fm
"Watu hoyooooooooooooooooooooooooooo"



Dj,KG kutoka 88.9 Storm fm akisababisha kwenye moja na mbili.


Wasema chochote kwenye Shughuli Baby Mama Pamoja na Idrissa Salum Mwanakwetu wakiendelea kukinukisha zaidi.

"Nimetembee tembee nimeikuta hadithi hadithiii yaaaa hadithi yaheee Mama"


Bi,Jokha Kassimu akitumbuhiza zaidi.




No comments:

Post a Comment