Monday 18 September 2017

STORM FM YATIMIZA MIAKA MITATU NA KUWAKUTANISHA WADAU WA SOKA MKOANI GEITA



Timu ya Storm fm  FC wakijiandaa kuingia uwanjani kwaajili ya mchezo wa kirafiki na timu ya wakogwe wa Mpira Lwamgasa  katika Mchezo huo Timu ya Lwamgasa iliweza kuibuka mshindi kwa gori tatu kwa mbili na kujitwalia kiasi cha Shilingi laki moja





Sherehe ya kukata keki iliendelea ikiongozwa na Mkurugenzi mtendaji  wa Storm fm Bi. Modesta Mselewa. 

No comments:

Post a Comment