88.9 STORM FM - GEITA

KUHABARISHA NA KUFAHAMISHA KUHUSU HABARI NA MAMBO YANAYOENDELEA KATIKA JAMII YA GEITA, KANDA YA ZIWA, TAIFA NA DUNIANI. TUTUMIE HABARI AU WASILIANA NASI KUPITIA info@stormfm.co.tz au +255 685 883 870

Pages

  • Home
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • BIASHARA NA UCHUMI
  • MICHEZO NA BURUDANI
  • AFYA
  • ELIMU

Saturday, 22 October 2016

MJADALA WA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WAENDELEO MJINI DODOMA CHINI YA KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII.


 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ikiendelea na majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.




 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba (kulia) akielezea  jambo kwa wajumbe wa Kamati yake na viongozi na watendaji wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma kushoto ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye



Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye kushoto) akijibu hoja mbalimbali za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba



 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (katikati) akisisitiza jambo kwa  Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.





 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson (kushoto) akifafanua jambo wakati wa majadiliano ya Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.



 Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel  akijibu hoja zilizotolewa na baadhi ya wajumbe ambao wanashiriki kuuchambua Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari  leo Oktoba 21,2016 Mjini Dodoma.



 Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia majadiliano na hoja mbalimbali katika kikao cha kuujadili  Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari kinachoendelea Mjini Dodoma leo Oktoba 21,2016.

Posted by Unknown at 05:41
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • PICHA:MAMA JANET MAGUFULI AKITOA MSAADA MKOANI LINDI KWA WATU WASIOJIWEZA
    Wananchi wa Kijiji cha Nandagwa Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi w...
  • PICHA : BUNGE LA RIDHIA AZIMIO LA MAKUBALIANO YA PARIS CHINI YA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA
    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba hii leo amewasilisha Bungeni azimio la kuridhia Makuba...
  • NI MARUFUKU KUCHATI MUDA WA SAA ZA KAZI.
    Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini imewapiga marufuku wafanyakazi wake ''Kuchati'' katika mitandao ya kij...
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA ILI KUPIGA VITA MATUKIO YA MAUAJI NCHINI
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania, viongozi wa dini zote kushirikiana kwa pamoja kupiga vita matukio maovu ya mauaji yaliy...
  • PICHA:USIKU WA SNURA NA MSAMBWANDA DADAZ NDANI YA DESIRE PARK.
    Dj Hk the Monster pamoja na Kg thedeejay wakifanya yao.   Mwanakwetu Idrissa Salum akitahamaki mambo ya chura.  Team y...
  • MAKAMU WA RAIS AWAHIMIZA WANANCHI KUCHANGIA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Maswa kwenye mkutano wa H...
  • SERIKALI MKOANI GEITA YAJIPANGA KUTATUA TATIZO LA MAJI KWA WANANCHI
    Mkuu wa mkoa wa Geita,Mhandisi Robert Gabriel akiwa na Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Geita(GEUWASA)Mhandi...
  • VYUO 20 VYAFUTIWA USAJILI NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
    Leo June 8, 2018  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili wa vyuo 20 kwa kushindwa kufuata utaratibu wa usaji...
  • KINANA ASEMA YUPO TAYARI KUITUMIKIA CCM....ATOBOA SIRI YA USHINDI WA KISHINDO
    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema yuko tayari kuendelea kukitumikia chama hicho. “ Neno la mwen...
  • DKT. HARRISON MWAKYEMBE: "NATAKA MKANDARASI MPYA WA KUTOA TIKETI UWANJA WA TAIFA UTAKAPOFUNGULIWA"
    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (aliyevaa kofia ya pama) akisalimiana na baadhi ya Viongozi w...

Popular Posts

  • RAISI WA SUDAN KUSINI SALVA KIIR AWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA SIKU MOJA
    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Bi Mindi Kasiga amesema Rais Kiir anafanya ziara ya kikazi ya siku moja ambapo anatarajiwa kuwa na...
  • MANCHESTER UNITED YAMFUTA KAZI LOUIS VAN GAAL
    Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis van Gaal amefutwa kazi kama mkufunzi wa klabu ya Manchester United ,huku aliyekuwa mkufunzi...
  • MFUMUKO WA BEI NCHINI WAENDELEA KUPUNGUA TOKA 3.8% HADI 3.6%
     Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigabo akifafanua jambo alipokuwa...
  • SAMATTA AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO EUROPA LEAGUE GENK IKIUA 2-0
    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amefunga bao lake la kwanza katika michuano ya Europa League usiku huu, ti...
  • HOFU, KUTOJIAMINI ZAPELEKEA UPOTEVU WA HAKI KWA WANAWAKE GEITA
    Baadhi ya wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia kwa mwanamke wakiwa kwenye kikao cha pamoja kilichokuwa kimelenga kujadili sera na sheria y...
  • PICHA:MAPOKEZI YA URENO MABINGWA WA ULAYA LISBON 'YACHAFUKA WATU'
    Umati wa wananchi wa Ureno uliojitokeza kwenye maandamano ya kuwapokea wachezaji wa timu yao ya taifa mjini Lisbon Jumatatu wakirejea k...
  • VYUO 20 VYAFUTIWA USAJILI NA BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
    Leo June 8, 2018  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limefuta usajili wa vyuo 20 kwa kushindwa kufuata utaratibu wa usaji...
  • MKUU WA MAJESHI AHAMASISHA VIJANA KUJIUNGA NA JKT
    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Jenerali Venance Mabeyo amewahamasisha vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ili waweze kupata stadi za...
  • MAHAFALI YA PILI NA TATU YA KIDATO CHA SITA WAJA SEKONDARI YAFANA MKOANI GEITA
    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya  WAJA  wakiwa kwenye msafara wa kuingia ukumbini kwaajili ya sherehe za kupongezwa kuhitim...
  • WILAYA YA GEITA IMETOA MILION 173.5 KWA KINA MAMA NA VIJANA KUJIKWAMUA KIMAISHA
    Halmashauri ya Wilaya ya Geita imetoa kiasi cha Sh. Milioni 173.5 ikiwa ni mwendelezo wa halmashauri kuhakikisha 10% y...

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ►  2018 (289)
    • ►  June (13)
    • ►  May (63)
    • ►  April (93)
    • ►  March (43)
    • ►  February (41)
    • ►  January (36)
  • ►  2017 (406)
    • ►  December (10)
    • ►  November (64)
    • ►  October (30)
    • ►  September (34)
    • ►  August (25)
    • ►  July (8)
    • ►  June (12)
    • ►  May (24)
    • ►  April (49)
    • ►  March (39)
    • ►  February (66)
    • ►  January (45)
  • ▼  2016 (711)
    • ►  December (19)
    • ►  November (26)
    • ▼  October (46)
      • TAARIFA KUTOKA IKULU KUHUSU SIKU YA KWANZA YA ZIAR...
      • TEMESA YAANZISHA PROGRAMU YA KUBAINI VIPURI BANDIA.
      • SHULE YA MSINGI BUTWA HAINA WALIMU WA KIKE
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWATAKA WAFANYAKAZI WA MV TAN...
      • MKUU WA WILAYA YA BUKOMBE JOSEPHAT MAGANGA ATOA SE...
      • MOROCCO KUJENGA UWANJA WA MPIRA MKOANI DODOMA.
      • UDSM WATAKIWA KUHAKIKISHA KINAENDELEA KUWA CHUO KI...
      • MKURUGENZI WA HABARI AWATAKA WADAU WA TASNIA YA HA...
      • MAKAMBA ASIKITISHWA NA UPUNGUFU WA MAJI ZIWA RUKWA...
      • MJADALA WA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI W...
      • KAMATI YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YA...
      • MAGONJWA YASIOAMBUKIZWA TISHIO KWA VIFO VYA WATOTO...
      • MIKOA SABA NCHINI KUNUFAIKA NA MRADI WA MPANGO WA...
      • WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI GEITA BADO NI CHANGAM...
      • WAZIRI NAPE:MUSWADA WA HABARI KUIBADILI TAALUMA
      • WATU 10 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA AJALI YA BASI ...
      • WATU 13 WAFIKISHWA KIZIMBANI KWA MAUAJI YA WATAFIT...
      • JAMBAZI AWAJERUHI KWA BOMU ASKARI NA RAIA WANNE MK...
      • GGM YAFADHILI MILIONI 20 KWA AJILI YA MAKTABA KATI...
      • WAZIRI MWIJAGE AITAKA NBS KWA KUSHIRIKIANA NA WADA...
      • MHE. KAIRUKI AWAHIMIZA WATUMISHI WA UMMA MKOANI MW...
      • TEMESA SHINYANGA YAZIDAI MILLIONI 163 HALMASHAURI,...
      • WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUJIPATIA ELIMU NA T...
      • MHE ANASTAZIA WAMBURA ATEMBELEA JAKAYA MRISHO KIKW...
      • PICHA:GARI ILIYOMBEBA MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE...
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWAFUKUZA KAZI WAFANYAKAZI SI...
      • SERIKALI YABARIKI MBIO ZA KILI MARATHON
      • PICHA:WAZIRI NAPE NNAUYE ASHIRIKI SIKU YA KITAIFA ...
      • SERIKALI YAKIRI UHABA WA DAWA HOSPITALINI
      • RAIS MAGUFULI AFUTA SAFARI ZA VIONGOZI WA SERIKALI...
      • MTENDAJI MKUU TEMESA AWATAKA WATENDAJI WAKE KUJIT...
      • PICHA:DKT. NDUMBARO AWATAKA WATUMISHI WA UMMA NCHI...
      • PICHA:MAMA JANETH MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA SHEM...
      • RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KW...
      • SERIKALI KUHAKIKISHA IDADI KUBWA YA WANANCHI VIJIJ...
      • SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AFUMUA KAMATI YA BUNGE N...
      • PICHA:WAZIRI NAPE NNAUYE ASEMA NGOMA ZA ASILI NI C...
      • WALIOMPIGA MWANAFUNZI MBEYA DAY WAFUKUZWA CHUO
      • PICHA:WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO PR...
      • BEI ZA MAFUTA KWA MWEZI OKTOBA ZASHUKA
      • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALAANI MAUAJI YA WATAF...
      • PICHA:RAIS WA CONGO JOSEPH KABILA AHAIDI KUENDELE...
      • PICHA:MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AFUN...
      • PICHA:RAIS MAGUFULI ALIVYOMPOKEA RAIS WA CONGO JOS...
      • RIPOTI:BENKI YA DUNIA YATAJA IDADI YA WATU MASIKIN...
      • WAZIRI NAPE NNAUYE ATOA TAMKO DHIDI YA MECHI ILIYO...
    • ►  September (59)
    • ►  August (62)
    • ►  July (68)
    • ►  June (98)
    • ►  May (96)
    • ►  April (87)
    • ►  March (101)
    • ►  February (49)
Simple theme. Powered by Blogger.