Tuesday 30 May 2017

PICHA: YALIYOJIRI KIKAO CHA 37, MKUTANO WA 7 BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 30, 2017



Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Najma Giga akiongoza kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.



Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza jambo na Mbunge wa Kaliua(CUF) Mhe.Magdalena Sakaya katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017.


Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe.Angelina Kairuki akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017.


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Khamis Kigwangalla akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk.Susan Kolimba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.


Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.


Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango akisoma Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 katika kikao cha 37 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.  


Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe.Faida Bakara akiuliza swali katika kikao cha 37 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.


Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe.Amina Mollel akiuliza swali katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017.


Waziri wa Habari,Utamaduni ,Sanaa na Michezo Dk.Harrison Mwakyembe akizungumza jambo na Naibu wake Mhe.Anastazia Wambura katika kikao cha 37 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Ajira,Kazi,Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akijadili jambo na Mbunge wa Iringa Mjini(CHADEMA) Mhe.Peter Msigwa katika kikao cha 37 cha Mkutanowa Saba wa Bunge la 11 leoMjini Dodoma Mei 30, 2017. 


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.GeorgeMasaju akifafanua jambo katika kikao cha 35 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 30, 2017.Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira,Kazi,Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama na Kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dk.Medard Kalemani.




No comments:

Post a Comment