Tuesday 22 August 2017

MBUNGE WA BUSANDA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA ENEO LA STAMICO WACHIMBAJI WADOGO


Mbunge wa Jimbo la Busanda Mkoani Geita,Loresia Jeremia Bukwimba amempongeza Rais kwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia eneo la Stamico  wachimbaji  wadogo wa Kijiji Cha Nyarugusu 


Mbunge wa Jimbo la Busanda Lolesia Jeremia Bukwimba akikagua na kuangalia mwamba wa dhahabu wakati alipowatembelea wachimbaji wadogo wa mgodi wa STAMICO uliopo kwenye Kata ya Nyarugusu.


Baadhi ya wachimbaji wadogo wa maeneo ya STAMICO wakishangilia baada ya kutembelewa na Mbunge wa Jimbo la Busanda.


Wachimbaji wadogo wakimsikiliza Mbunge wakati alipokuwa akizungumza nao


Mchimbaji akimwonesha Mbunge Jiwe la mwamba wa dhahabu

No comments:

Post a Comment